JINSI YA KUTENGEZEZA BLOG NA KUJIPATIA KIPATO


JE? Unahitaji kujifunza  njia rahisi na halaka ya kufumgua blog mtandaoni na kuaanza kujipatia kipato

Am EMILIAN  nimekua na uzoefu  mkubwa katika matumizi ya mtandao na kuweza kufungua account kazaa za youtube channel na kupata kipato lakini pia kufungua blog zangu mwenyewe ikiwemo hii.
Fuatilia hatua chache zifuatazo ili uweze kujua jini ya kufungua blog yako kwa dakika zisizo zidi 20

HATUA ZA KUFANYA

1. chagua jina la blog ( liwe la kuvutia)
2.sajili blog yako mtangaoni
3.peleka blog yako kwene mauzo(chagua free templete)
4.chapisha chapisho lako la kwanza (post ya kukalibisha)
5. tangaza blog yako ifikie watu weng zaidi
6. chagua njia ya kujipatia kipato kwa blog

HATUA YA 1. JINA LA BLOG

Chagua jina la blog kulingana na vitu amabavyo unataka kupost yaani ukitaka kupost kuhusu siasa chagua jina kulingana na siasa, kuhusu michezo, kuhusu, elimu, kuhusu muziki, kuhusu kilimo, kuhusu ucheshi, kuhusu magari na pikpik na nk. basi jina liendane na maudhui ya blog yako hii itakufanya uapate wafuatiliaji wengi kwa haraka na wakudumu.

HATUA YA 2.USAJILI WA BLOG

Jisajili kupitia blog store yeyote mfano blogspot.com ni ni rahisi na halaka

Comments

Popular posts from this blog

CURRICULUM DEVELOPMENT CT200

BORESHA AFYA YA UZAZI NA TENDO LA NDOA

FAHAMU MADHARA NA SURUHISHO LA UNENE NA UZITO MKUBWA